MAHAFALI YA SHULE AGAPE YAFANA - SHINYANGA


Afisa Elimu Taaluma mkoa wa Shinyanga,James Malima akizungumza katika mahafali hayo. Kushoto ni mwenyekiti wa mtaa wa Busambilo kata ya Chibe ilipo shule ya  Agape Knowledge Open School, Charles Mayunga. Kulia ni Mkurugenzi wa shirika la Agape AIDS Control Programme (AACP), linalomiliki shule hiyo,John Myola.

Wahitimu wa kidato cha nne wakiimba wakati wa mahafali hayo

Mkurugenzi wa shirika lisilo la kiserikali la Agape AIDS Control Programme (AACP),John Myola akizungumza wakati wa mahafali hayo ambapo aliwataka wazazi kuacha tabia ya kuozesha watoto kwa tamaa ya mali na badala yake wawapeleke shule

Wahitimu wakifurahia jambo wakati Mkurugenzi wa shirika lisilo la kiserikali la Agape AIDS Control Programme (AACP),John Myola akizungumza.

Mkurugenzi wa shirika lisilo la kiserikali la Agape AIDS Control Programme (AACP),John Myola akisisitiza "Mtoto wa Kike Shule"

Mwenyekiti wa mtaa wa Busambilo kata ya Chibe ilipo shule ya  Agape Knowledge Open School Charles Mayunga akilishukuru shirika hilo kwa kuwapa elimu watoto ambao wameokolewa katika ndoa

Wanafunzi wanaobaki wanaosoma katika shule ya Agape Knowledge Open School wakiimba wimbo kulishukuru shirika la AGAPE jinsi linavyosaidia watoto wa kike

Mkuu wa shule  ya sekondari Agape Knowledge Open School ,Adili Haruni Nyaluke akielezea historia ya shule hiyo

Wanawake waliopatiwa elimu ya ujasiriamali na shirika la AGAPE wakiimba na kucheza wakati wa mahafali hayo

Wazazi na walezi wakiwa katika mahafali hayo

Wahitimu wa kidato cha nne wakiwa ukumbini

Wahitimu wa kidato cha nne wakiimba na kucheza

Wahitimu wakiimba wakati wa mahafali hayo

Wageni waalikwa wakifuatilia kilichokuwa kinaendelea wakati wa mahafali hayo

Wazazi na wageni waalikwa wakiwa katika eneo la tukio

Wanafunzi kutoka shule ya Sekondari Tinde wakiwa katika mahafali hayo

Mmoja wa wahitimu wa kidato cha nne katika shule hiyo akitoa ushuhuda kuhusu mimba na ndoa za utotoni wakati wa mahafali hayo

Wanafunzi wanaobaki wakicheza muziki

Wahitimu wa kidato cha nne katika shule hiyo wakisoma risala kwa mgeni rasmi

Wanafunzi wanaobaki wakisoma shairi

MC Mwamba akitoa maelekezo wakati wa mahafali hayo

Kaimu afisa elimu msingi wilaya ya Shinyanga Beatrice Mbonea akizungumza wakati wa mahafali hayo

Wageni waalikwa na wafanyakazi wa shirika la AGAPE wakiwa katika eneo la tukio

Mgeni rasmi ,Afisa Elimu Taaluma mkoa wa Shinyanga,James Malima akitoa cheti cha kufanya vizuri katika masomo kwa mmoja wa wahitimu wa kidato cha nne katika shule ya Agape Knowledge Open School. 

Mhitimu akishikana mkono na mgeni rasmi wakati akipokea cheti

Mhitimu akishikana mkono na mgeni rasmi wakati wa zoezi la ugawaji vyeti kwa wanafunzi waliofanya vizuri katika masomo yao

Zoezi la utoaji vyeti linaendelea

Zoezi la utoaji vyeti linaendelea

Wageni waalikwa wakifuatilia kilichokuwa kinaendelea

Mahafali yanaendelea

Mkurugenzi wa shirika lisilo la kiserikali la Agape AIDS Control Programme (AACP),John Myola akimwongoza mgeni rasmi Afisa Elimu Taaluma mkoa wa Shinyanga,James Malima (kulia) kwenda kuangalia ujenzi wa majengo mbalimbali unaoendelea katika shule hiyo ambayo sasa ina jengo moja tu linaloonekana pichani ambalo linatumika kama darasa lakini pia kama bweni la wanafunzi.

Mkurugenzi wa shirika lisilo la kiserikali la Agape AIDS Control Programme (AACP),John Myola akielezea kuhusu ujenzi huo

Mkurugenzi wa shirika la Agape AIDS Control Programme (AACP),John Myola akielezea kuhusu ujenzi wa majengo katika shule hiyo mpya inayokabiliwa na changamoto mbalimbali kama vile upungufu wa samani,ukosefu wa umeme na maji

Afisa Elimu Taaluma mkoa wa Shinyanga,James Malima akiondoka katika eneo panapojengwa majengo mbalimbali katika shule hiyo.

0 Comments