VIJANA WAASWA KUSHIRIKI MASHINDANO YA TEKNOLOJIA

Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania,Abigail Ambweni akiwafafanulia jambo baadhi ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kutoka Kitivo cha Sayansi ya Kompyuta kuhusiana na  shindano la AppStar linaloendeshwa na kampuni hiyo linalowalenga wataalam wa kutengeneza mobile applications na kujishindia zawadi mbalimbali ikiwemo pesa taslim na safari ya kwenda nchini India kushiriki katika shindano hilo ngazi ya kimataifa.
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wa Kitivo cha Sayansi ya Kompyuta,John Marolera akimuuliza swali Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania,Abigail Ambweni kuhusiana na  shindano la AppStar linaloendeshwa na Vodacom Tanzania linalowalenga wataalam wa kutengeneza mobile applications na kujishindia zawadi mbalimbali ikiwemo pesa taslim na safari ya kwenda nchini India kushiriki katika shindano hilo ngazi ya kimataifa.
Baadhi ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wa Kitivo cha Sayansi ya Kompyuta,wakielekea katika sehemu maalum ya kupatiwa maelezo ya jinsi ya kushiriki katika  shindano la AppStar linaloendeshwa na Vodacom Tanzania linalohusiana na  wataalam wa kutengeneza mobile applications kushiriki katika shindano hilo na kujishindia zawadi mbalimbali ikiwemo pesa taslim na safari ya kwenda nchini India kushiriki katika shindano hilo ngazi ya kimataifa.

0 Comments