|
|
| Mh Joyce Mukya Mbunge wa Viti Maalum Arusha (Chadema) atoa msaada wa maturubahi ya kuzuia mvua na jua kwa wakina mama wajasiriamali Soko la Mbauda, walionufaika ni wauza Mbogamboga, matunda na Mkaa |
Sikosekanagi kwenye mambo Mazuri, Hongera Brother Ally Bananga kwa Jitihada za kumkomboa Mwanamke.
Wamama wauza Mkaa katika Soko la Mbauda wakipokea Msaada toka kwa Mh Mbunge na Diwani wao
0 Comments