Wakazi 234 wa Mtunguru mkoani Mtwara hawana mahali pa kuishi baada ya nyumba 75 kubomoka na nyingine kuezuliwa paa kufuatia mvua yenye upepo mkali kunyesha.
Wakazi 234 wa Mtunguru mkoani Mtwara hawana mahali pa kuishi baada ya nyumba 75 kubomoka na nyingine kuezuliwa paa kufuatia mvua yenye upepo mkali kunyesha.
0 Comments