HDIF YAAZIMISHA SIKU YA MTOTO WA KIKE DUNIANI NA WADAU WAKE COSTECH


Mkurugenzi wa Shule Direct Faraja Nyarandu akizungumza na washiriki wa mkutano maalum wa siku ya Mtoto wa Kike Duniani ulioandaliwa na Tasisi ya HDIF kwa wanufaika wake wanaopigania maendeleo ya mtoto wa kike nchini,uliofanyika jana jijini Dar.

Mkurugenzi wa Shule Direct Faraja Nyarandu akizungumza na washiriki wa mkutano maalum wa siku ya Mtoto wa Kike Duniani ulioandaliwa na Tasisi ya HDIF kwa wanufaika wake wanaopigania maendeleo ya mtoto wa kike nchini

Meneja Mipango na Mahusiano kutoka HDIF ,Emma Devies akizungumza na wadau waliofika katika mkutano maalum wa maahdhimsiho ya siku ya mtoto wa kike Duniani,uliofanyika jana jioni jijini dar.

Wadau walioshiriki katika mkutano huo ulioandaliwa na HDIF Katika ukumbi wa COSTECH Jijini Dar es Salaam.

Binti amabye ni mtaalamu wa Panya kutoka Chuo Kikuu cha kilimo cha SUA,Mariam Juma akitoa maelezo jinsi Panya hao wanvyoweza kumgundua mtu mwenye Vimelea vya ugonjw awa Kifua kikuu

Meneja mrradi wa kupinga ukeketaji afya ya uzazi na Mazingira kutoka Wilaya ya Kilindi mkoani Tanga kutoka Shirika la Amref Afrika , Dr. Jane Sempeho akiwaonyesha wadau waliofika kutaka kujua juu ya kameoni yake ya Stop Cut

Wataalamu kutoka HDIF wakifatilia mkutano huo kwa makini.

wanafunzi wa sekondari walioshiriki katika mkutano huo

0 Comments