TFFT YATOA TUZO YA MWALIMU BORA 2017


Kushoto aliyevalia koti jeusi ni Mgeni rasmi Mariam Kimoso ambaye alimuakilisha mkurugenzi wa jiji la Arusha akimkabidhi mwalimu aliyefanya vizuri hivi karibuni katika kinyang’anyiro cha kuwasaka walimu bora lililoendeshwa na shirika lisilokuwa la kiserikali la Foundation For Tomorrow jijini Arusha,katikati ni diwani wa kata ya Themi jijini Arusha,Milance Kinabo, (CHADEMA).

Mkurugenzi wa shirika la Foundation for Tomorrow Melissa Queyquep, akizungumza katika hafla hiyo ambapo alisema kuwa lengo ni kuwawezesha walimu kupata mamlaka ambayo itawasaidia katika ufundishaji wa wanafunzi bila ubaguzi wowote katika kufufua maendelea ya elimu.

Mgeni rasmi Mariam Kimoso ambaye alimuakilisha mkurugenzi wa jiji la Arusha akizungumza katika hafla hiyo.



Mjumbe wa bodi wa shirika la Foundation for Donacian Lyaruu akizungumza katika hafla hiyo

Diwani wa kata ya Themi jijini Arusha,Milance Kinabo, (CHADEMA),akiteta jambo na Bi.Narja Roel
 Mwalimu Pius Edward kutoka shule ya msingi Sing’isi akipokea zawadi kwa mgeni rasmi.



 Mkurugenzi wa Upendo  Friends Isabella Mwampamba alisema kuwa mwalimu anatakiwa kuheshimika kwa kazi kubwa ambayo wamekuwa wakifanya hivyo ni muhimu sana kuwatia moyo.

0 Comments