![]() |
| Watanzania Tuachane na Uekezaji wa faida ya siku moja. Tuwawekezee watoto wetu. |
| Nawashukuru Wazazi wa Wanafunzi wa Shule yetu walikubali kuwalipia watoto hawa kujifunza kwa vitendo kwenye Makumbusho ya Arusha Natural History na Arusha Declaration. Tuwekeze kwenye taifa letu |
| Unaona........ |

0 Comments