USALAMA NI TETE ARUSHA - MH LEMA

 Mh. Godbless Lema akihutubia Wananchi wa Ngarenaro kwenye Mkutano wa Delete Kabisa ccm Arusha
 Akieleza kusikitishwa kwake na utendaji wa Polisi Arusha... alisema  Hali ni Mbaya ya Usalama Arusha, wakina mama wananyang'anywa pesa, hereni, wanabakwa... Hali ni mbaya ni Dhambi Kubwa Wanaume kuwa Kimya.. Tuwatetee wanawake jamani
 Mh Mbunge alisema ILI MABADILIKO YA KWELI YATOKEE LAZIMA WACHACHE WAWE MBEGU BORA, KUBALI KUWA MMOJA WAO, TUUNGANE TULETE TAIFA BORA...MH. LEMA

KAMATI TENDAJI CHADEMA WILAYA YA ARUSHA
Akieleza kuhusu Uchumi wetu, Serikali imefilisika kwa kiwango ambacho, wanatumia Trafiki kupiga fine wananchi hadi dhulma.... ha ha ha yaani wakikosa kosa hata ukicheka unalipia... ha ha  Mh Lema

0 Comments