"DIWANI WA OLASITI" NIKISHIRIKI KWENYE MICHEZO

 Mgeni Rasmi nikiwa na Mgeni Mheshimiwa sana, tukitoa tuzo kwa Captain wa Timu iliyoshinda, mbali na kombe washindi wa kwanza walijishindia-Mbuzi na Kombe, Washindi wa Pili -Kreti ya Soda na Maji, na Msindi wa Tatu- Kreti ya Soda
 Taifa Stars ya Kesho huanzia kwenye Timu imara kama hii
 Mwalimu wa Michezo Msaidizi akionyesha mbwembwe
 Nikihutubia wachezaji na washabiki kwenye uwanja wa Olasiti
Zawadi kwa washindi

0 Comments