VIPAJI VYA AFRICA


 Mwimbaji mahiri wa nyimbo za Injili nchini,Rose Mhando akiwasha moto wa kamata pindo la Yesu katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, Jumapili 5, 2015.
 
 Uimbaji wa hisia ulitawala kwenye tamasha hilo. 
 Keki iliyokatwa ilipitishwa pia kwa watazamaji mbalimbali na kujipatia japo kipande. 
 Mwimbaji John Lissu na waimbaji wake pichani juu wakilishambulia jukwaa vilivyo. 
 Shabiki wa nyimbo za injili akionekana kuguswa
 Ilikuwa ni shangwe za furaha kwa aliyekuwa akiguswa na nyimbo za kiroho.
 Mdau wa muziki wa Injili Emmanuel Mbasha akipa kitu cha Selfie na rafiki yake ndani ya uwanja wa Taifa wakati tamasha Pasaka lililofanyika April 5 jijini Dar na kuhudhuriwa na maelfu ya watu
  Mwimbaji wa muziki wa injili kutoka nchini Afrika Kusini anayefahamika kwa jina la Rebecca Malope akitoa burudani katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, Jumapili 5, 2015.
 Baadhi ya Waimbaji wa Rebecca Malope wakiimba jukwaani.
 Kila mmoja aliyefika kwenye tamasha hilo la pasaka aliburudika na kuguswa kwa aina yake.
   Mwimbaji wa muziki wa injili kutoka nchini Afrika Kusini,Rebecca Malope akitoa burudani katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, Jumapili 5, 2015.

 Rebecca Malope akiimba kwa hisia
  Mwimbaji wa muziki wa injili kutoka nchini Afrika Kusini Rebecca Malope akitoa burudani katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, Jumapili 5, 2015. 
 Mwanamuziki wa Kimataifa wa nyimbo za Injili kutoka nchini Afrika Kusini,Rebecca Malope akicheza na shabiki wake kwa staili ya pekee kabisa,huku uwanja ukilipukwa na mayowe kila kona.
 Wengine waliamua kuburudika kwa hivi 
 Mwanamuziki Rebecca Malope akionesha umahiri wa kuziteka hisia mashabiki wake kwa kuzunguka nao uwanjani
 Mwimbaji wa muziki wa injili kutoka nchini Afrika Kusini, Mchungaji Solly Mahlangu mwanamuziki nguli akiimba na kucheza  katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, Jumapili 5, 2015. 
 Kwa kile aliyekuwa akiguswa na nyimbo za injili ilikuwa ruksa kuinua mikono hewani kama hivi pichani.
 Mwimbaji wa Nyimbo za Injili, Joshua na vijana wake wakilishambulia jukwaa
 Sehemu ya umati wa watu wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye jukwaa la tamasha la pasaka.
Mwimaji Chritina Shusho akiimba katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, Jumapili 5, 2015.. 

0 Comments