ADHABU YADAIWA KUSABABISHA KIFO CHA MWANAFUNZI

Adhabu ya mwalimu mkuu yadaiwa kusababisha kifo cha mwanafunzi

Tukio hilo lilitokea jana mchana ikidaiwa mwalimu huyo alimwadhibu Kaila pamoja na mwenzake wakidaiwa kuwa ni watoro.

Soma zaidi: http://www.mwananchi.co.tz

0 Comments